ONLINE

Friday 19 March 2021

Mseto wa Habari


Kwaheri Rais Pombe Magufuli


Rais wa Jumuiya ya Tanzania Daktari John Pombe Magufuli ameaga dunia. Akitoa tangazo la kufariki kwa kiongozi huo kupitia stesheni ya TBC, Naibu Rais Samia Suluhu ameelezea kuwa Rais huyo wa awamu ya tano ameaga kutokana na ugonjwa wa moyo, katika hospitali ya Jakaya Kikwete iliyopo nchini humo. Viongozi mbalimbali wakiongozwa na mwenyekiti wa muungano wa muungano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Uhuru Kenyatta, wameendelea kutia rambirambi zao kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania kwa ujumla kwa kumpoteza kiongozi huyo. Magufuli, ameaga akiwa na umri was miaka 61. Amemwacha mjane Janeth Magufuli pamoja na watoto.





Kwaheri Rais Pombe Magufuli


Rais wa Jumuiya ya Tanzania Daktari John Pombe Magufuli ameaga dunia. Akitoa tangazo la kufariki kwa kiongozi huo kupitia stesheni ya TBC, Naibu Rais Samia Suluhu ameelezea kuwa Rais huyo wa awamu ya tano ameaga kutokana na ugonjwa wa moyo, katika hospitali ya Jakaya Kikwete iliyopo nchini humo. Viongozi mbalimbali wakiongozwa na mwenyekiti wa muungano

Uchaguzi mdogo wafanyika Machakos






Wananchi kutoka kaunti ya Machakos, wameelekea debeni kumchagua seneta wao mpya, baada ya kifo cha aliyekuwa seneta was kaunti hiyo Boniface Kabaka mapema mwakani. Ushindani mkali unatarajiwa Kati ya Agnes Kavindu ambaye anagombea kupitia kiti Cha Wiper, na Kengele anayewania kupitia chama cha UDA. 

Magoha atahadharisha watahiniwa wa mitihani ya KCPE na KCSE.

Waziri wa elimu George Magoha, ameelezea taifa kuwa wizara hiyo iko tayari kuwatahini wanafunzi wa mwaka wa 2020 katika darasa la nane na kidato cha nne. Magoha, aliwahikikishia wanafunzi hao kuwa serikali inawatakia kila la kheri, na kuwa mitihani ilitayarishwa kwa kuzingatia hali kuwa wanafunzi kote nchini wamekua nyumbani kwa miezi tisa. Magoha amewaonya watahiniwa dhidi ya kutumia barakoa kuendeleza wizi was mtihani, kwani watapatikana na hatua kali kuchukuliwa dhidi yao. Amewataka wasimamizi was mitihani kuchunguza barakoa za wanafunzi,kabla ya kuanza kwa mitihani yote.

Mwili wa Jeniffer Wambua wapatikana msitu Ngong. 

Mwili wa Jeniffer Wambua, aliyekua Naibu msimamizi katika idara ya ardhi umepatikana katika msitu was Ngong mapema wiki hii, baada ya kupotea kwa Jennifer wiki iliyopita. Upasuaji was mwili uliofanywa na mpasuaji wa serikali  Johannsen Oduor, ulidhihirisha kuwa Jennifer aliaga baada ya kunyongwa. Mwili wake Jennifer ulitambuliwa na familia yake katika makafani ya City. Wachunguzi kutoka kitengo Cha DCI wanatarajiwa kuanzisha uchunguzi baina ya wafanyakazi wenza,kudhibitisha kiini hasa cha kuuawa kwake.

Raila arejea nyumbani kutoka hospitalini

Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga, aliruhusiwa wiki hii kurejea nyumbani, baada ya kupata nafuu. Raila, ambaye alipatikana kuwa na virusi vya COVID-19, alikuwa amelazwa katika hospitali ya Nairobi,ambapo alikuwa akipokea matibabu. Katika video iliyosambaa mitandaoni, kiongozi huyo alionekana kuwa afadhali kiafya, huku akielezea nia ya kuendelea kujitenga hadi wakati ambapo atapona kikamilifu.

How can I?

 

How can I 

Tell you all

I want you to know?

And will you believe me 

When I say 

My heart hurts 

For you

My heart yearns 

To reach you

My heart longs 

To open up

For you

Or will you 

Like me

Find the words 

Meaningless


?

Jaay McOngute

Caring is my default

 


The view through the window is amazing,so full of emotions.

It's not the sunset nor the landscape that has caught your eye.

It's her, she is alone, she's always alone.

Your emotions are bottling up, you are dieing to help.


You are attracted to the broken,

broken you say, aren't we all? 

So you finally get the guts to lend a hand,a spare of yourself trying to help.

Two broken people trying to fix each other 

So you offer what you cannot afford to loose

She gets better, with a thankful heart she leaves calling it friendship


You feel used, anger rises in your throat,

but what you do, your gesture of help has turned to a lump of regret,

It haunts you, so you drink your sorrows, swallow your pride

And say it's life,but is it?

Sucks to be caring by default, doesn't it?

Mbona kaniua

Na Mwende


Maneno yameondoka kinywani mwangu,

Machozi yakakwisha machoni,

Mliposimama kumpigania mtoto wa kike,

Mkanisahau mimi mtoto wa kiume,

Eti linalonikwaza ni,,, sina nafasi tena kwenye jamii.


Kazini mkapa toto la kike kipaumbele,

Wanaoongoza ni wanawake,

 wafanyakazi wengi ni wanawake pia, 

Kosa gani nilililofanya mimi?

Je, mliamua kuniua? 


Sauti sina tena, nguvu 'menipokonya, 

Manufaa ml'otaka mmepata, 

Kama kuniua ni manufaa, 

Nina imani 'meridhika zaidi, 

Taabu iliyopo ni, 

M' tapata mwengine wapi? 


Maumivu  yangu mimi toto la kiume, 

'Meona niyawasilishe kwa maandishi, 

Iwapo masikio yana nta, labda macho yataona, 

Ni haki ninayolilia, nikumbukwe 

Kama si kupewa hadhi, basi nisawazishwe na toto jike

Nifufuke angalau, lakini si kuniua vikali! 

   

                 Mwende 


Bewitched to love you


      Birds of the air, have nests

     Men of women, have houses

     But l the son of a woman,

              Have dreams


    When wandering like a lost

        Sheep,

    My eyes bumped on you,

    But lacked the gists of even

    Saying hi or  smile to you

    Because of fear, that l didn't

    Know its genesis


   Mom's daughter,

   Not last year and not today,

   That l've been just emojising 

    And reacting on your posts 

   Here on Facebook 

           But today,

   I vow, l'm not an ambulance,

  To always say "wow! Wow!"

  On your cute photos


     Girlie,

  Many times you've blue-ticked 

  Me,

  Grey ticked me,

  Though l don't know why

        But,

  Today today today,

  Please, don't break my heart,

 Don't kill my visions and dreams

 Don't burry me please,

 In the tunnel of depression


   Kissing my pillows daily,

  Hugging my pillows daily

  Leaving my house like a bird

  Daily

  Always haunt me when l think of

  My unreplied texts in your inbox,

  Until l feel like shedding tears


        Girlie,

    When will my loneliness end?

    When will my hunt tactics bore

    Fruits?

    Girlie,

  What if you're my rib? 

  Please please please please,

  I'm seriously in love with you,

  And  tired of faking 


    Now that l've met you face to 

face,

   After a long time of ignoring me,

   Just be mine and make me 

   Yours

  For your astute won my heart a

  Year ago,


                   By

        Hosea Namachanja

 

Thursday 18 March 2021

Kitumbua kimeingia mchanga

 MSUMARI MOTO: MBONA NDOA NYINGI KARNE HII HAZIDUMU?


"Ni dunia hubadilika au watu ndio hubadilika? " Aliniuliza mzee mmoja mwaka uliopita na kuongeza kuwa nisimjibu jibu nililokuwa nalo ila nijiwekee mwenyewe. Hata hivyo, alinisimulia machache yanayohusu uchumba enzi zake za ujana ambayo baadhi yayo, mwenyewe nimeyashuhudia katika maisha yangu.


Kale, palikuwapo kitanda cha mikanda ambacho kilipewa jina "kitanda cha spring'i". Jina hilo lilitokana na tabia zake wakati mtu amekilalia. Kuchao, kilikuwa cha kumchezesha mtu huku na kule namna spring'i za vyombo vya usafiri zilivyo.


Kwa hivyo, katika ndoa, wanandoa walikipenda sana kitanda hicho kwa sababu, hamna mume au mke angelala na mchumba wake bila kutatua mzozo wa uchumba uliozuka. Hata kama mmoja angekuwa na hasira nyingi, usiku kitanda kile kingetingika na kumsukuma hadi alipo mpenziwe wakati wa kujinyosha.


Ikilinganishwa na leo, mabahari ya vitanda vyumbani hayasaidii chochote. Mtu atapinda mgongo kule na mwingine kule na walale bila kuutatua mzozo wa ndoani. Fauka ya hili, ndoa nyingi katika karne hii yetu zasambaratika kwa sababu zifuatazo:


Kutoaminiana. Wengi wa wanandoa wameyafanya mapenzi kama kazi ya kibarua ambapo, baada ya kazi, mtu analipwa na kuenda zake. Hayaheshimiwi katu. Wengi wanaoana bila mpango au msimamo wa maisha au kuwa tayari kuwa katika ndoa ndiposa kila uchao, wengi huchepuka watakavyo kani ya kuwapata watoto nje ya ndoa.


Shinikizo la wanarika. Suala hili ni hatari sana kuliko kiharusi. Wengi wa vijana wa leo huingia kwenye ndoa kwa sababu "fulani" kaoa au kaolewa na "yeye" bado kuulizwa ulizwa na wenzake idadi ya watoto alio nao, mahali huishi na mkewe au mumewe na maendeleo ya familia "nyumbani." Hili huwafanya kukimbilia ndoa bila maono.


Unafiki wakati wa kuchumbiana. Inafaa wakati wa kuchumbiana, wachumba tarajiwa kuyaweka mambo yao wazi ili kila mmoja ajue hali ya maisha ya mwingine. Wengi wao wakati wa kuchumbia huwa wajanja kwa kujiinua huku wakiwa hawana kitu ila uongo mtupu. Jambo hili hushusha hadhi ya imani ya uaminivu katika ndoa na pia hata kuvunjika hasa ikibainika mmoja ni mraibu wa mihadarati huku mwingine ni wa injili ya mbinguni.


Kutowajibika katika ndoa. Inasikitisha sana katika jamii ya leo kupata watoto wadogo wakichuuza sokoni kisa na maana wazazi wao waliwatwika hilo jukumu. Jambo hili ni ishara tosha kwamba, baba mzazi wa mtoto huyo hawajibiki katika malezi ya familia (iwapo yu hai) au kinyume kwa mama mzazi. Umaskini katika ndoa hutokana na kutowajibika jambo ambalo wanaume wengi siku hizi huachwa kwa mataa kisa "hawajui kuhangaikia familia."


Tamaa ya mali. Ole wao wanandoa wa usasaleo kwa kukimbilia mali! Awe amesoma au hajasoma, msichana wa sasa hashikiki katika uteuzi wa mchumba sawa na baadhi ya waume wanaoangalia maumbile badala ya vitu vingine pia. Mabinti wengi waolewa kama "mpango wa kando" kwa kuvutiwa na pesa, kazi au sifa alizonazo mwanaume. Hawajali awatongozaye ameoa au hajaoa. Lao ni pesa tu sawa na baadhi ya waume.


Fauka ya sababu hizi miongoni mwa zingine nyingi, ipo haja ya wale ambao hawajaingia au kujisajili katika shule ya ndoa kujifunza kwa wale waliowatangulia katika maisha ya ndoa ambayo huyapitia au waliyapitia ili ndoa zao zidumu kama za wazee wa kale.

      

            Chozi la Kunguni

Maulana wakumbuke

     MAULANA WAKUMBUKE

Na Hosea Namachanja

Rabi uliyetukuka, mbinguni na duniani,

Kote unaheshimika, maajabu pia nyuni

Mapema wakiamka, hukuimbia mitini,

Uhimidiwe hakika, ewe Mungu wa Yusufu


Huwa hawalali njaa, kule kwao kiotani,

Kucha wakikulilia, huwajibu Mkawini

Na mema kufurahia, wanapokula Manani

Uhimidiwe hakika, kwa sababu unatenda


Nalia baba nalia, wasonavyo wakumbuke

Nalia baba nalia, wasafiri, wakumbuke

Nalia baba nalia, waliao wakumbuke

Wakumbuke Maulana, nalia kweli nalia


Nalia kweli nalia, wajane kawakumbuke 

Nalia kweli nalia, wagonjwa kawakumbuke

Nalia kweli nalia, wagonjwa kawakumbuke

Kawakumbuke wagonjwa, nalia baba nalia


Nalia baba nalia, mayatima wakumbuke

Nalia baba nalia, wanafunzi wakumbuke

Nalia baba nalia, na watoto wakumbuke

Nalia baba nalia, kubali maombi yangu


Kuna watu wanalia, nyumba wamefungiwa,

Kuna watu wanalia, wamefutwa kazini

Kuna watu wanalia, wanavurugwa ndoani

Kuna watu wanalia, hawajalipwa mshahara


Kuna watu wanalia, kweli chakula hawana

Kuna watu wanalia, hali zao zinachekwa

Kuna watu wanalia, wanalia tena sana

Ndipo Mola nakuomba, uwasaidie jamani

               

                   Chozi la Kunguni

                    

Kiss me slow

 


KISS ME SLOW. 

By Brenda Bungei


To that boy who owns pink lips

I thought I ought to write again

You hold the chasteness of the sunrise

The glamour of the sunset

The midday song thunders in my heart

I long for you ooh owner of pink lips

So that you may hold my hand

Kiss me slow


For us to live the moment

You're a perfect embodiment of love

A true definition of happiness

You make me dazzle at you

And for a moment

I go blind carising that face

Kissing you slow


The quality of your smile impresses

It's warmth draws me naturally to you

My affection for you blinds me

It makes me reach for places I can't go

But when I remember you wore patched shorts

And I wore a tattered dress uniform

Bare feet happily promoted to grade 2

Carrying cans of water to school

And I adore those innocent moments

Days I looked at you and all I could see

was was a pretty childish face

How perversed is the human mind

With deliberation I work to earn you

Owner of pink lips

So incase we meet again

Please kiss me slow

Such that if you'll ever leave

I would remember the boy

Who wore patched shorts

Had pink lips and kissed slow

©Blackraven.


Real is rare


By Museo







 Do i push too hard? Or its just you who is uninterested ? I'm not the type to really put myself all out for somebody, but I found myself trapped by you. I really don't know what you've heard or been told about me, I'm definitely not perfect though I can be worth it. If you cuff me, don't leave me stranded. I hope you really know how it feels..I'm trying but it's not up to me when it comes to deciding, I'm dying whenever you act like I'm invisible, just tell me you're faking it.

I don't blame you though, maybe you fear that I'll leave you high and dry  someday, but I'm here to stay, if you don't like me, please tell me ,because I'm feeling dismissed . Don't wait till it's too late. Don't wait until I'm too invested to tell me you've got feelings for another ,just like I do for you. That you can love me as a friend, but as a woman its a long call.

I broke a lot of rules and grounds for you .I down graded my principles just to be with you. It's like I have been born and bred to please men .To satisfy your kind,to beguile the lines of you. But for what? To be cheated on with four other girls I'm insecure about?  Now I have to wonder if it was a body,face or hair  maybe everything.


I still hear the stillness in his voice as he declared he never loved me. As he walked away from me and k watched his back, it finally hit me that I did not know him , I just was familiar with his back. I knew a waterfall when I saw one. The kinds that do not retreat.

For now,I'm a smart girl with a broken heart and refined attitude. Gorgeous eyes and a dazzling body. Some days I cry but on most days,I remember to pick up my crown and shine all the way up



.I 'm still learning to love myself. Most important of all,I have learnt one thing: real is rare,fake,is everywhere.



Masked in Hunger, she weeps

    MASKED IN HUNGER, SHE WEEPS.

By Brenda Bungei


The economy has been tough

The journey knowingly has been rough

Terrible that she cannot afford a bun

So behind the mask of smiles she hides

As her stomach rumbles for at least a spoonful

She masks in fear of judgements and humiliation


She cannot call home, it's worse over there

With the ground dry and cracked as tho cursed

Her brothers eat like squatters from neighbors to relatives 

Sadly she understands, she can't call home


New to campus she doesn't  know  where she'll trade her labour

Only for food. Even a meal a day

Hiding under her blankets trying to subsidie the hunger with sleep

She glups water each time her stomach rumbles

She cries she weeps but deep down

She hopes someday she'll thrive


Hungry and depressed, she bottles up her problems 

Too often she masks the truth in advance

Sealing off herself from mercy  

From the stench of their judgment that overwhelms her

She hides behind memes, for fales comfort

Repeling the truth too devastating to accept. 

Teafully she's been writing ;

She's been writing because only the pen can hold what she feels


Silently cries, So silently she weeps 

Every Aroma has become poison to her nostrils 

Because weakly her stomach begs for attention

Weakly, she holds herself strong so that they may not know she's starving

She trusts no one with her situation, her faith in people is tattered 

Listening to her favorite sauti sol's tune until she's lured to sleep

Shallowly asleep, she hopes to make it through the night 

And hope tomorrow will be better.  ..


Sina chakula wenzangu

  SINA CHAKULA WENZANGU

Na Hosea Namachanja


Kukonda kwangu kukonda, wenzangu ni kuumia,

Maisha yananiponda, hadi siwezi kwongea,

Kila siku ninashinda, mtimani nikilia,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Asubuhi na jioni, kula kwangu kwa taabu,

Ila wazi kuwambeni, ninaona ni aibu,

Wapo nikiwambieni, watanicheka ajabu,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yani,


Midomo mkiniona, wenzangu imekauka,

Huku pia nikinena, kinywani mwangu mwanuka,

Kisa hakika mchana, hakuna kitu mefyeka,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Nimejawa na madeni, Fuliza na Mshwari,

Nao wazazi nyumbani, menyamaza siyo siri,

Simu kunipigieni, hawapigi siyo siri,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Ukweli rivasi koli, kwa muda nimejaribu,

Lakini ninasaili, mwanao hawanijibu,

Kwani mimi ni katili, au kipi cha ghadhabu? 

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Mimulodi nimekuwa, kwa sasa mtandaoni,

Mimu ninazipakuwa, kuficha yalo moyoni,

Na tena kutambuliwa, nina shida maishani,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Wenzangu nimwombe nani, pesa anisaidie?

Wenzangu nimwombe nani, chakula aniitie?

Wenzangu nimwombe nani, chajio nikimbilie?

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Msione nikicheka, mkadhani niko poa,

Kwa ndani ninachomeka, na masaibu hasaa,

Japo kweli kutamka, nashindwa kuwelezea,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Sijui nilikosani, mimi kweli maishani,

Ndiposa kule nyumbani, sisaidiwi jameni,

Laiti ngalijuweni, nijue la kufanyeni,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Wiki jana nimewaza, kifo kikanichukue,

Niishie kwenye giza, masomo nijiachie,

Kuliko kujiumiza, mautini nitulie,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Anisamehe Manani, kwa yale nimewazia,

Machozi anifuteni, kuishe kwangu kulia,

Na mwokozi nipateni, aje na kuniokoa,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,


Tamati nikifikia, kwa sasa sina namna,

Waifai najendea, kukaa kule nanena,

Angaa kufikiria, mengi niache wasena,

Hino njaa hino njaa, wenzangu yanimaliza,

                


First years: First Exam


By Susan 

Exams bring out different parts of a student. Some realize that they are actually geeks and can get straight A's if they worked hard enough. With some comes the realization that they have wasted 3 months of the semester and have nothing to show for it now. It is the toughest time in the student's academic calendar. As much as exams are considered as the best methodology to test if the students have understood the concept taught  during lectures A friend once joked that they should make us swear that we understood the course and let us be.

"Do not fear exams, just do your best" this is the statement our high school principal used to echo to us every chance she got..

We are having our first exams in campus. Each paper takes at least two and a half hours. There are a mixed reaction amongst the students . There are those who were anxious and nervous, their are those who are calm and have hope that they can hande the exams since they have been doing it from nursery school their was going to be nothing new.  The monster we had been trying to run away from had turned into a beast. Exam was here to stay with us.

There era those who have preferred to skip their meals in order to pay more attention to the exams , the number of first years going to the library has also increased. There are those who had prepared themselves early but and are those of course the last minute thing hence each person is trying their very own best. Their is also another thing which everyone of it s is trying to escape , the " supp".It is everybody's nightmare . In order to do the re- take exam a fine is paid which yo have to dig into your pocket money because it is something no one would love to tell their parent about not unless you formulated a lie to tell them which is not ethical.

In conclusion exams play a very vital role in both the student's and lecturers or teachers . Exams should be embraced because it is something we cannot escape from , it is part us hence it should not be viewed in a very displeasing manner. Early preparation  and making reading as a habit not only for the exams but also to get knowledge is one of the major ways of eliminating negative attitude towards exams. Acquiring exam skills is also a way one preparing themselves  for the exams. Those skills include; being able to manage time, being able to manage anxiety and panic, good having good writing skills, note- taking skill, reading skills .Working hard in a smart way is the way to go.

Being a brother's/sister's keeper




The country is wallowing in a mire of economic hardship. The cost of living has escalated so tremendously that three meals in a day are a miracle not only in poor homesteads but also in the lower middle-class economy families. 


Here in campus, things are worse than ever. Tea with milk is an unthinkable option, even a luxury. That is only for those lucky enough it with sugar. Most can't even afford a single KDF. Yet that is the miraculous breakfast that is pushing comrades, saving them from fainting through the busy day in lecture halls to the evening. Even a good supper is a miracle to many.


So many comrades are suffering starvation silently here in campus. Ironically other comrades are throwing away food leftovers while others are fainting due to hunger.


Well, if you don't have anything to eat, dear comrade, don't suffer in self loathing alone.


 Be courageous enough to approach your friends and share your problem. Wisemen said, a problem half shared is a problem half solved!


 If you suffer hunger while your friends have enough food even throws away some, you will be doing the greatest injustice to yourself. It's only a fool who dies in solitude. You are not one. You can't be one, can you?


If you have any friend you are suspecting he's suffering hunger silently, help them if you can. Then keep it to yourself. Do to your neighbour as you would like him/her to do to you. Let your left hand not know what your right did or who it spread to. 


If you are not in a position to personally help, talk to your friends too. Then ensure you approve of who you are sharing the situation to. Ensure the third party are not of the Pharisee sect. When we come together, great things happen. 


Jesus commanded, "love your neighbour as you love yourself." If you can help a neighbour, a comrade, do it sincerely and secretly. English men say, "what goes around, comes around." 


 Tomorrow it might be you, God forbid! We all know tables turn against everybody's wishes. Yet that is nature. 


Refrain from all temptation of taking the word around that so and so is starving. The owner of a loose tongue is a disgust to the society and an insult to his/her mother. A Kiswahili gospel song sings, "tenda wema nenda zako!" Do good, shut up and get busy doing what you do.


Apart from assisting each other, let's also share our problems.

 So many people, even comrades are suffering depression and other mental illnesses.


Depression is real! If you have a scorching problem share with a friend who's closest to you. A nature law states that every action has an equal and opposite reaction. By sharing to them they shall give an ear and even a shoulder to lean on. Most will share to you what and how they have pulled out of a similar or related problem. 

You might be surprised that your friend is combating even a more frivolous mental quagmire. 


If you can't trust your friend, maybe you prefer to share the burden with anonymous stranger(s).


There's the Guidance and Counselling office at student center where you can be listened to, counseled, advised and assisted with utmost professional confidentiality . 


You may even visit the Moi University Hospital and there are trained  professionals who can help you too. 


Finally, let's put into practice all money saving skills we've learnt. Avoid overspending on impulse buying. Make a realistic budget for the cash you have and follow it strictly. It's wiser to buy and store food in your room than to serve the scorching thirst of some drug or alcohol.


I am because you are. No man is an island! Be your brothers/sisters keeper. Love yourself and love your neighbours. Spread the love.